![]() |
| Jokate na Milard Ayo katika Pozi la Pamoja |
Uvumi huo ulianzia mitandaoni pale ambapo Jokate juzikati, aliweka plain ukaribu wake na Millard ambaye ni mtangazaji mwenye mvuto mkubwa kwa jamii.
“Millard ni mshkaji, namkubali kutokana na uchapakazi wake, anajua kujituma na ni mpambanaji lakini nje ya hapo hakuna cha zaidi,” alisema Jokate.

0 comments:
Post a Comment