Mbowe: Dk. Slaa Ameamua Kupumzika Shughuli za Chama Baada ya Kutofautiana na Wenzake Juu ya Ujio Lowassa

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freman Mbowe, amevunja ukimya juu ya kinachomsibu katibu mkuu wa Chama hicho, Dk. Wilibrod Slaa, ambaye amekuwa haonekani kwenye shughuli za chama hicho.


Akifungua mkutano wa Baraza kuu la chama hicho jijini Dar es salaam jana, Mbowe alisema kuwa  Dk. Slaa ameamua kupumzika shughuli za chama baada ya kutofautiana na wenzake juu ya ujio wa Waziri Mkuu wa Zamani, Edward Lowassa, ambaye atapeperusha bendera ya Chadema kupitia Umoja wa kutetea Katiba ya Wananchi (Ukawa) kuwania urais katika uchaguzi mkuu Oktoba 25, mwaka huu.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment