Video: Jose Mourinho Ammtukana Tusi Kubwa Daktari wa Klabu ya Chelsea

Meneja wa Chelsea, Jose Mourinho alimtukana tusi kubwa Daktari wa klabu hiyo, Eva Carneiro.

Video iliochiwa na Sky Sports imeonesha Mourinho alivyomchukia na kumtukana Eva kwa maneno ya kireno ‘filho da puta’ (ambayo tafsiri yake ni mtoto wa mbwa).

Chanzo cha Mourinho kumtukana Carneiro ni kuingia uwanjani kumtibu Eden Hazard wakati wa dakika za majeruhi za mechi ya Jumamosi iliyopita dhidi ya Swansea ambayo walitoka sare ya 2-2 uwanja wa Stamford Bridge .

Caneiro will keep her job title but will not be allowed at training sessions, matches or the Chelsea team hotel

Sportsmail nao wanasema wachezaji wa Chelsea wameduwaa na maneno makali ambayo Mourinho anabwatukajuu yao na viongozi wengine wa timu.

Mourinho leo anakutana na vyombo vya habari kwa mara ya kwanza tangu amtukane Carneiro na kumfungia kukaa kwenye bechi katika mechi zijazo.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment