Exclussive: Kampuni ya Guardian Yapata Mkurugenzi Mtendaji Baada ya Kustaafu Mshana

Kampuni ya guardian Ltd inayochapisha magazeti ya Nipashe, Sema Usikike, Guardian na Taifa Letu leo hii imemtambulisha rasmi Mkurugenzi Mtendaji mpya, Bwana Richard Mgamba.

Aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji Bwana Kiondo Mshana 

Nafasi hiyo awali ilikuwa imekaimiwa na mkurugenzi mtendaji wa ITV/Radio One Joyce Muhavile baada ya aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji kustaafu mwanzoni mwa mwaka huu, Bwana Kiondo Mshana.

Mkurugenzi mtendaji mpya wa Guardin, Bwana Richard Mgamba, aliyoopo upande wa kulia akipokea Tuzo kutoka CNN 2008. Picha kutoka Maktba
Bwana Mgamba kabla ya kujiunga na Guardian alikuwa Mhariri Mtendaji wa gazeti la Citizen linalotolewa na Mwananchi Communications

Akiongea na wafanyakazi wa Guardian, Mgamba alisema atahakikisha gazeti la Nipashe linafanya vizuri kama zamani.

Habari kamili na picha zitakujia hivi punde usikae mbali
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment