Yvonne Chaka Chaka, Mafikizolo na Sauti Sol Kutumbuiza Dar June 6

Muimbaji mkongwe wa Afrika Kusini, Yvonne Chaka Chaka pamoja na kundi la Mafikizolo watatumbuiza jijini Dar es Salaam, June 6 mwaka huu.

Show hiyo imepewa jina la Party In The Park – SA Invasion ambapo pamoja na wasanii hao, kundi la nchini Kenya, Sauti Sol nalo litakuwepo kutumbuiza.


 Wasanii wengine ni pamoja na Black Motion, Zaki Ibrahim Beatenberg Xoli na Michael Djvoodoosa Darcio.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment