UKAWA: Hatugomi Wala Kuahirisha Uchaguzi Mkuu Octoba, Soma Hapa Msimamo Walioutoa Jion Hii

Vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) leo vimetoa msimamo wao juu ya njama za kuahirisha Uchaguzi Mkuu unaotakiwa kufanyika Oktoba Mwaka Huu.

Ukawa imesisitiza kwamba kuahirisha Uchaguzi Mkuu huo ni sawa ma kumuongezea Rais Jakaya kikwete na chama chake cha Mapinduzi muda wa kuendelea kutawala Tanzania.


Ukawa ilisema jaribio lolote la kuahirisha Uchaguzi Mkuu kwa kisingizio chochote kile litakuwa kinyume na Katiba ya sasa ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania endelea kusoma hapo chini ………..





Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment