Kim Kardashian Atoa Kava ya Kitabu Cahke ana Kuzua Gumzo Kubwa Mtandaaoni

Kitabu hicho kina picha zake za miaka ya nyuma kabisa kabla hata selfie hazijawa maarufu.
Kwenye kitabu hicho Kim anasema alianza kujipiga picha mwenyewe akiwa na miaka minne tu. “Nilijipiga picha mwenyewe na digital cameras nilipokuwa junior high na high school na nilivutiwa.
“I was always obsessed with selfies,” alisema.
Inasemekana wazo la kutoa kitabu hicho lilitoka kwa mumewe Kanye West. Yeye ndiye aliyekipa jina hilo na timu yake ya Donda ndiyo iliyokitengeneza.
Kitabu hicho kitaingia sokoni mwezi May

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment