CCM Yaiburuta ACT- Tanzania Mahakamani

Mgombea wa mtaa aliyeshindwa wa CCM mtaa wa Mkombozi amefungua kesi mahakama ya wilaya ya Kasulu kupinga ushindi wa chama cha ACT-TANZANIA,ambapo chama cha ACT-TANZANIA kilishinda kwa nafasi ya Mwenyekiti wa mtaa huo.

Uchaguzi uliofanyika tarehe 21/12/2014,madai yake ni kuwa mgombea wa ACT-TANZANIA alipanga njama na msimamizi wa kituo kutangaza matokeo mapema kabla ya muda.

Kesi hiyo kwa mara ya kwanza itatajwa tarehe 02/02/2015.Wakati huo chama Wananchi CUF kimekiburuza mahakamani chama cha NCCR-MAGEUZI kupinga matokeo ya mtaa wa Juhudi,kesi zote zitatajwa tarehe hiyo. Ikumbukwe kuwa mgombea wa ACT-TANZANIA mtaa wa mkombozi alishinda kwa kura 100 kati ya wa CCM aliyepata kura 10.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment