'Salima' ya Linex Yavuka Mipaka ya TZ

 Mkali huyo amesema video hiyo imekuwa ikitoboa sehemu mbalimbali peke yake kutokana na kisa chake kuwa ndiyo uhalisia wa watu wengi.
Linex amesema kuwa, mbali na watazamaji wengi wa kazi hiyo katika mtandao, ameweza kupata pia mahojiano na vituo mbalimbali kutoka nje ya Tanzania, kitu ambacho kimemshangaza na kumpa moyo pia, ikiwa ni ishara pia ya muziki wa Tanzania kuendelea kuvuka mipaka.

Credit: Eatv

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment