Tanzia: Mdogo wa Jose Chameleone, AK47 Afariki Dunia

Taarifa kutoka nchini Uganda zinasema kuwa mwanamuziki wa Dancehall nchini Uganda anayefahamika kwa jina la AK47amefariki dunia usiku wa leo baada ya kuanguka akiwa bafuni anaoga.


Taarifa zinadai kuwa AK47 amefariki saa 5.30 usiku ya tarehe 16, Machi, 2015 baada ya kukimbizwa katika hospitali ya Nsambya jijini Kampala ambapo taarifa za madaktari zinadai kuwa damu nyingi ilivujia ndani baada ya kuangukia sehemu ya nyuma ya kichwa chake.
11061712_1173768635970886_360185370648682234_n
AK47 ni kaka wa wanamuziki watatu nchini humo ambao ni Jose Chameleone, Weasel na Pallaso kutoka familia ya Gerald Mayanja na Prossy Musoke.
Source:eatv
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment