Cristiano Ronaldo Ashinda Kwa Mara Nyingine Tuzo ya Mchezaji Bora

Mwanasoka bora wa msimu uliopita mreno Cristiano Ronaldo ameibuka mshindi kwa mara ya pili mfululizo.

Ronaldo alikuwa akichuana na Lionel Messi na Manuel Neur katika tuzo hizo.
Lakini baada ya kusubiri kwa takribani miezi miwili hatimaye nahodha huyo wa Ureno akatangazwa kushinda tuzo hiyo – ikiwa sasa ni mara ya 3.


Cristiano Ronaldo alipata asilimia 37.66 ya kura zote huku Lionel Messi (15.76%) na Manuel_Neuer (15.72%).


Katika vipengele vingine – James Rodriguez alishinda tuzo ya goli bora la mwaka, huku Nedine Kassler akishinda tuzo ya mwanasoka bora mwanamke.
Manuel Neur alishinda tuzo ya golikipa bora huku kocha wake Joachim Law wa Ujerumani akishinda tuzo ya kocha bora.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment