Msanii Flora Mvungi Awaonya Wenzake Wasitoe Mimba

Msanii Flora Mvungi amewaonya baadhi ya wasanii wenzake kuacha tabia ya kutoa mimba.
Flora amesema ni fahari kuwa na mtoto, hivyo wasanii wanapobahatika kupata ujauzito wanapaswa kuikubali hali hiyo, waweze kujifungua.
Flora alimwambia Mwandishi Wetu kuwa, hakuna zawadi nzuri duniani kama mtoto.
“Jamani, ukweli ndiyo huo. Kuwa na mtoto ni furaha sana, kama wasanii yatupasa kufanya kila linalowezekana kuwalea na kuwatunza watoto,” alisema muigizaji huyo.
Flora, ameigiza filamu kadhaa na kung’ara katika kazi mbalimbali alizoshirikishwa.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment