Flaviana kuolewa karibuni

Mwanamitindo maarufu Flaviana Matata amekuwa akifanyia shughuli zake za uanamitindo nchini Marekani.
Mwanamitindo maarufu Flaviana Matata amesema anatarajia kuolewa hivi karibuni.
Kimwana huyo alisema mumewe mtarajiwa naye ni raia wa Tanzania anaishi Marekani.


Pamoja na kutotaka kutaja jina la mchumba wake alisisitiza watafunga ndoa hivi karibuni.
Flaviana amekuwa na mafanikio makubwa tangu aliposhiriki mashindano Miss Universe ambapo kwa kiasi kikubwa yalimuweka kwenye ramani nzuri ya urembo duniani na kukutana na wabunifu mbalimbali wa kimataifa akiwemo Russel Simmons.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment