Sipendi Kabisa Unene Huu – Kajala

“Unene hali inayonivuruga sana jamani, siutaki kabisa, bora niacha usingizi nifanye mazoezi,” alisema Kajala.
Staa wa filamu mwenye mvuto wa aina yake, Kajala Masanja amesema hapendi unene, anafanya mazoezi kuondokana na hali hiyo.
Amesema hapendi kuonekana na umbile kubwa, kwa sababu litamfanya ashindwe kufanya shughuli mbalimbali.
Alimwambia Mwandishi wetu kuwa, amejipangia ratiba, kila asubuhi anafanya mazoezi ya kupunguza mwili.
“Unene hali inayonivuruga sana jamani, siutaki kabisa, bora niacha usingizi nifanye mazoezi,” alisema.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment