Mshambuliaji wa Manchester United Radamel Falcao anaweza asiwepo Old Trafford msimu ujao, ameeleza wakala wake.
United watakuwa naye hadi Mei ili kumnunua kwa ada ya pauni milioni 40.
“Atacheza katika moja ya vilabu bora duniani msimu ujao, huenda ikawa Man United au isiwe, alisema wakala wa Falcao 28, Jorge Mendes.
Maisha ya soka ya Falcao katika dimba la Old Trafford yameathiriwa na majeraha ya kigimbi cha mguu na ameanza kwenye mechi nane tu.

0 comments:
Post a Comment