Yanga Yatafutiwa Mechi Mbili

Ofisa wa habari wa klabu ya Yanga Jerry Muro
Yanga inatafutiwa mechi mbili za kimataifa kabla ya kucheza pambano lake la kombe la Shirikisho Barani Afrika.

Yanga imepangwa kuanza mashindano hayo na klabu ya BDF X1 Botswana mchezo utakaopigwa mwezi ujao katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Ofisa Habari wa Yanga Jerry Muro alisema wakipata mechi hiz itakuwa kipimo tosha kabla ya kuwavaa Wabotswana hao.
Alisema wanafikiria kutafuta timu katika nchi za Malawi na Zambia ambako anaamini, soka lao ni nzuri.
“Tumepanga kutafuta mechi mbili za kimataifa tunaamini zitawajenga wachezaji wetu,” alisema Muro.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment